Ufunuo 14:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Moshi wa moto unaowatesa hupanda juu milele na milele. Watu hao waliomwabudu huyo mnyama na sanamu yake na kutiwa alama ya jina lake, hawatakuwa na nafuu yoyote usiku na mchana.”

Ufunuo 14

Ufunuo 14:9-13