Ufunuo 11:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, malaika wa saba akapiga tarumbeta yake. Na sauti kuu zikasikika mbinguni zikisema, “Sasa ufalme wa ulimwengu ni wa Bwana wetu na Kristo wake. Naye atatawala milele na milele!”

Ufunuo 11

Ufunuo 11:9-17