Ufunuo 11:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu waishio duniani watafurahia kifo cha hao wawili. Watafanya sherehe na kupelekeana zawadi, maana manabii hawa wawili walikuwa wamewasumbua mno watu wa dunia.

Ufunuo 11

Ufunuo 11:1-19