Ufunuo 11:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha nikapewa mwanzi uliokuwa kama kijiti cha kupimia, nikaambiwa, “Inuka, ukalipime hekalu la Mungu, madhabahu ya kufukizia ubani na kawahesabu watu wanaoabudu ndani ya hekalu.

Ufunuo 11

Ufunuo 11:1-8