Ufunuo 10:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, ile sauti niliyokuwa nimeisikia kutoka mbinguni pale awali ikasema nami tena: “Nenda ukakichukue kile kitabu kilichofunguliwa, kilicho mkononi mwa malaika asimamaye juu ya bahari na juu ya nchi kavu.”

Ufunuo 10

Ufunuo 10:2-10