Ufunuo 10:6 Biblia Habari Njema (BHN)

akaapa kwa jina la Mungu aishiye milele na milele, Mungu aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, bahari na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo. Akasema, “Wakati wa kusubiri zaidi umekwisha!

Ufunuo 10

Ufunuo 10:4-11