Nehemia 7:46-53 Biblia Habari Njema (BHN)

46. Koo za wahudumu hekaluni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Ziha, wa Hasufa, wa Tabaothi;

47. wa Kerosi, wa Siaha, wa Padoni;

48. wa Lebana, wa Hagaba, wa Shalmai;

49. wa Hanani, wa Gideli, wa Gahari;

50. wa Reaya, wa Resini, wa Nekoda;

51. wa Gazamu, wa Uza, wa Pasea;

52. wa Besai, wa Meunimu, wa Nefushesimu;

53. wa Bakbuki, wa Hakufa, wa Harhuri;

Nehemia 7