Mwanzo 9:24-26 Biblia Habari Njema (BHN)

24. Noa alipolevuka na kujua alivyotendewa na mwanawe mdogo,

25. akasema,“Kanaani na alaaniwe!Atakuwa mtumwa wa watumwa kwa ndugu zake.”

26. Tena akasema,“Shemu na abarikiwe na Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu!Kanaani na awe mtumwa wake.

Mwanzo 9