Mwanzo 47:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati wa mavuno, sehemu moja ya tano mtampa Farao. Sehemu nne zitakazobaki zitakuwa mbegu na chakula kwa ajili yenu na jamaa zenu na watoto wenu.”

Mwanzo 47

Mwanzo 47:20-30