Mwanzo 42:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha wakasemezana wao kwa wao, “Kweli sisi tulimkosea ndugu yetu. Ingawa tulimwona akisononeka rohoni mwake, sisi hatukumjali hata alipotusihi. Ndiyo maana taabu hii yote inatupata.”

Mwanzo 42

Mwanzo 42:20-22