Mwanzo 41:46 Biblia Habari Njema (BHN)

Yosefu alikuwa na umri wa miaka thelathini alipoanza kumtumikia Farao, mfalme wa Misri. Alitoka nyumbani kwa Farao na kuitembelea nchi yote ya Misri.

Mwanzo 41

Mwanzo 41:41-52