Mwanzo 41:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Baada ya miaka miwili mizima, Farao aliota ndoto: Alijikuta amesimama kando ya mto Nili,

2. akaona ng'ombe saba wazuri na wanono wakitoka mtoni na kula nyasi.

Mwanzo 41