Mwanzo 38:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipokuwa wakimtoa nje, Tamari akatuma ujumbe kwa baba mkwe wake, akisema, “Mwenye vitu hivi ndiye aliyenipa mimba. Kwa hiyo, nakuomba umtambue mwenye pete hii na kamba yake, na fimbo hii.”

Mwanzo 38

Mwanzo 38:18-30