Mwanzo 37:29-31 Biblia Habari Njema (BHN)

29. Basi, Reubeni aliporudi kwenye lile shimo, na asimwone Yosefu tena, akazirarua nguo zake kwa huzuni,

30. akawaendea ndugu zake, akawaambia, “Kijana hayupo nami niende wapi?”

31. Basi, wakachinja mbuzi, wakaichukua kanzu ya Yosefu na kuichovya katika damu ya huyo mbuzi.

Mwanzo 37