Mwanzo 36:39 Biblia Habari Njema (BHN)

Baal-hanani, mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi alitawala badala yake, na jina la mji wake likiwa Pau. Mkewe Akbori alikuwa Mehetabeli, binti Matredi na mjukuu wa Mezahabu.

Mwanzo 36

Mwanzo 36:32-40