Mwanzo 31:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Basi, ikasikika kwamba watoto wa kiume wa Labani walinungunika na kusema, “Yakobo amenyakua kila kitu cha baba yetu; ndivyo alivyopata kuwa tajiri.”

2. Yakobo alijua pia kuwa Labani hakumjali yeye kama hapo awali.

Mwanzo 31