8. Basi, Esau akafahamu kwamba baba yake hapendezwi na wanawake wa Kanaani.
9. Hivyo, mbali na wale wake zake wengine, Esau akaenda kwa Ishmaeli, mwana wa Abrahamu, akamwoa Mahalathi binti Ishmaeli, dada yake Nebayothi.
10. Yakobo aliondoka Beer-sheba, akaelekea Harani.