Mwanzo 25:13-17 Biblia Habari Njema (BHN)

13. Hii ni orodha yao kufuatana na kuzaliwa kwao: Nebayothi, mzaliwa wa kwanza, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,

14. Mishma, Duma, Masa,

15. Hadadi, Tema, Yeturi, Nafishi na Kedema.

16. Hao ndio watoto wa kiume wa Ishmaeli, waliokuwa asili ya makabila kumi na mawili; makazi na vijiji vyao vilijulikana kwa majina yao.

17. Ishmaeli alikuwa na umri wa miaka 137 alipofariki, akajiunga na wazee wake waliotangulia.

Mwanzo 25