Mwanzo 24:66-67 Biblia Habari Njema (BHN)

66. Yule mtumishi akamsimulia Isaka yote aliyokuwa ameyafanya.

67. Basi, Isaka akamchukua Rebeka ndani ya hema iliyokuwa ya Sara mama yake, akawa mke wake. Isaka akampenda Rebeka na kupata faraja baada ya kifo cha mama yake.

Mwanzo 24