Mwanzo 18:2 Biblia Habari Njema (BHN)

na alipoinua macho yake, akaona watu watatu wamesimama mbali kidogo mbele yake. Mara alipowaona, akapiga mbio kutoka mlangoni mwa hema lake, akaenda kuwalaki. Alipowafikia aliinama kwa heshima na kusema,

Mwanzo 18

Mwanzo 18:1-9