Mwanzo 16:14-16 Biblia Habari Njema (BHN)

14. Ndiyo maana kile kisima chaitwa Beer-lahai-roi. Kisima hiki kipo kati ya Kadeshi na Beredi.

15. Hagari akamzalia Abramu mtoto wa kiume. Abramu akamwita mtoto huyo Ishmaeli.

16. Abramu alikuwa na umri wa miaka 86 wakati Hagari alipomzaa Ishmaeli.

Mwanzo 16