25. Eberi alikuwa na watoto wa kiume wawili; wa kwanza akamwita Pelegi kwa sababu wakati huo watu duniani waligawanyika, na wa pili akamwita Yoktani.
26. Yoktani alikuwa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
27. Hadoramu, Uzali, Dikla,
28. Obali, Abimaeli, Sheba,
29. Ofiri, Hawila na Yobabu. Hao wote walikuwa watoto wa Yoktani.
30. Nchi walimokaa ilienea toka Mesha mpaka Sefari katika nyanda za juu za mashariki.