Mhubiri 7:17-19 Biblia Habari Njema (BHN)

17. Lakini pia, usiwe mwovu sana wala usiwe mpumbavu! Ya nini kufa kabla ya wakati wako?

18. Inakupasa ushike la kwanza na la pili pia; maana anayemtii Mungu atajengwa kwayo.

19. Hekima humfanya mwenye busara kuwa na nguvu zaidi kuliko watawala kumi mjini.

Mhubiri 7