17. Lakini pia, usiwe mwovu sana wala usiwe mpumbavu! Ya nini kufa kabla ya wakati wako?
18. Inakupasa ushike la kwanza na la pili pia; maana anayemtii Mungu atajengwa kwayo.
19. Hekima humfanya mwenye busara kuwa na nguvu zaidi kuliko watawala kumi mjini.