Mhubiri 1:17-18 Biblia Habari Njema (BHN)

17. Nilipania kubainisha kati ya hekima, wazimu na upumbavu. Lakini niligundua kwamba kufanya hivyo ni sawa na kufukuza upepo.

18. Maana katika kuwa na hekima nyingi mna wasiwasi;na aongezaye maarifa zaidi huongeza huzuni zaidi.

Mhubiri 1