17. Maana uovu ndicho chakula chao,ukatili ndiyo divai yao.
18. Njia ya watu wema ni kama nuru ya alfajiri,ambayo hungaa zaidi na zaidi hata mchana kamili.
19. Lakini njia ya waovu ni kama giza nene,hawajui kinachowafanya wajikwae.
20. Mwanangu, sikiliza kwa makini maneno yangu,itegee sikio misemo yangu.