1. Maneno ya mfalme Lemueli. Mawaidha aliyofundishwa na mama yake:
2. Nikuambie nini mwanangu?Nikuambie nini mwanangu niliyekuzaa?Nikuambie nini wewe niliyekuomba kwa Mungu?
3. Usimalize nguvu zako kwa wanawake,usiwape mali yako hao wanaoangamiza wafalme.