Methali 31:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Maneno ya mfalme Lemueli. Mawaidha aliyofundishwa na mama yake:

2. Nikuambie nini mwanangu?Nikuambie nini mwanangu niliyekuzaa?Nikuambie nini wewe niliyekuomba kwa Mungu?

3. Usimalize nguvu zako kwa wanawake,usiwape mali yako hao wanaoangamiza wafalme.

Methali 31