Methali 24:18-22 Biblia Habari Njema (BHN)

18. maana Mwenyezi-Mungu aonaye hayo hatapendezwa;huenda akaacha kumwadhibu.

19. Usihangaike kwa sababu ya watenda mabaya,wala usiwaonee wivu watu waovu,

20. maana mwovu hatakuwa na mema baadaye;taa ya uhai wake itazimwa.

21. Mwanangu, umche Mwenyezi-Mungu na kumheshimu mfalme,wala usishirikiane na wale wasio na msimamo,

22. maana maangamizi yao huwapata ghafla.Hakuna ajuaye maafa watakayozusha.

Methali 24