6. Usile chakula cha mtu bahili,wala usitamani mapochopocho yake,
7. maana moyoni mwake anahesabu unachokula.Atakuambia, “Kula, kunywa!”Lakini moyoni mwake hayuko pamoja nawe.
8. Utatapika vipande ulivyokula;shukrani zako zote zitakuwa za bure.
9. Usiseme maneno yako mbele ya mpumbavu,maana atapuuza hekima ya maneno yako.