Methali 23:21-23 Biblia Habari Njema (BHN)

21. maana walevi na walafi wataishia kuwa maskini,anayetumia siku yake kusinzia atavaa matambara.

22. Msikilize baba yako aliyekuzaa,wala usimdharau mama yako akizeeka.

23. Nunua ukweli, wala usiuuze;nunua hekima, mafunzo na busara.

Methali 23