11. Mwenye nia safi na maneno mazuri,atakuwa rafiki wa mfalme.
12. Mwenyezi-Mungu hulinda elimu ya kweli,lakini huyavuruga maneno ya waovu.
13. Mvivu husema, “Siwezi kutoka nje;kuna simba huko, ataniua!”
14. Kinywa cha mwasherati ni shimo refu;anayechukiwa na Mwenyezi-Mungu atatumbukia humo.
15. Mtoto hupenda mambo ya kijinga moyoni,lakini fimbo ya nidhamu humwondolea hayo.