Methali 21:13-15 Biblia Habari Njema (BHN)

13. Anayekataa kusikiliza kilio cha maskini,naye pia hatasikilizwa atakapolilia msaada.

14. Hasira hutulizwa kwa zawadi ya siri;tunu apewayo mtu imefichwa hupooza ghadhabu.

15. Haki ikitekelezwa watu wema hufurahi,lakini watu waovu hufadhaishwa.

Methali 21