Methali 21:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Moyo wa mfalme ni kama maji yanayotiririka;Mwenyezi-Mungu, huuongoza popote apendapo.

2. Matendo yote ya mtu ni sawa machoni pake,lakini Mwenyezi-Mungu hupima mioyo.

Methali 21