Methali 2:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Mwanangu, ukiyakubali maneno yangu,na kuyathamini maagizo yangu;

2. ukitega sikio lako kusikiliza hekima,na kuuelekeza moyo wako upate ufahamu;

3. naam, ukiomba upewe busara,ukisihi upewe ufahamu;

4. ukiitafuta hekima kama fedha,na kuitaka kama hazina iliyofichika;

Methali 2