Methali 19:27-29 Biblia Habari Njema (BHN)

27. Mwanangu, ukiacha kusikiliza mafundisho,utapotea mara mbali na maneno ya hekima.

28. Shahidi asiyefaa kitu huidhihaki haki;na kinywa cha mwovu hubugia uovu.

29. Adhabu iko tayari kwa wenye mzaha,mijeledi imetayarishwa kuchapa migongo ya wapumbavu.

Methali 19