Methali 15:31-33 Biblia Habari Njema (BHN)

31. Mtu ambaye husikiliza maonyo mema,anayo nafasi yake miongoni mwa wenye hekima.

32. Anayekataa kufundishwa anajidharau mwenyewe,bali anayekubali maonyo hupata busara.

33. Kumcha Mwenyezi-Mungu ni shule ya hekima;kabla ya kuheshimika ni lazima kuwa mnyenyekevu.

Methali 15