Methali 15:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kujibu kwa upole hutuliza hasira,lakini neno kali huchochea hasira.

2. Ulimi wa mwenye hekima hueneza maarifa,lakini watu wapumbavu hububujika upuuzi.

3. Macho ya Mwenyezi-Mungu huona kila kitu,humchunguza mtu mwema na mtu mbaya.

4. Ulimi mpole ni chanzo cha uhai,lakini uovu wake huvunja moyo.

Methali 15