Methali 14:3-6 Biblia Habari Njema (BHN)

3. Mpumbavu hujiadhibu mwenyewe kwa kuropoka kwake,lakini mwenye hekima hulindwa na maneno yake.

4. Bila ng'ombe wa kulima ghala za mtu ni tupu,mavuno mengi hupatikana kwa nguvu ya ng'ombe wa kulima.

5. Shahidi mwaminifu hasemi uongo,lakini asiyeaminika hububujika uongo.

6. Mwenye dharau hutafuta hekima bure,lakini mwenye busara hupata maarifa kwa urahisi.

Methali 14