5. Mwadilifu huuchukia uongo,lakini mwovu hutenda kwa aibu na fedheha.
6. Uadilifu huwalinda wenye mwenendo mnyofu,lakini dhambi huwaangusha waovu.
7. Baadhi hujidai kuwa matajiri kumbe hawana kitu;wengine hujiona kuwa maskini hali wana mali tele.
8. Fidia ya mtu ni mali yake,lakini maskini hana cha kutishwa.