Methali 12:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Apendaye nidhamu hupenda maarifa,bali asiyependa kuonywa ni mjinga.

2. Mtu mwema hufadhiliwa na Mwenyezi-Mungu,lakini mwenye nia mbaya hulaaniwa na Mungu.

Methali 12