12. Anayemdharau jirani yake hana akili,mtu mwenye busara hukaa kimya.
13. Apitapitaye akichongea hutoa siri,lakini anayeaminika rohoni huficha siri.
14. Pasipo na uongozi taifa huanguka,penye washauri wengi pana usalama.
15. Anayemdhamini mgeni atakuja juta,lakini anayechukia mambo ya dhamana yu salama.