Methali 10:31-32 Biblia Habari Njema (BHN)

31. Kinywa cha mwadilifu hutoa mambo ya hekima,lakini ulimi wa mtu mbaya utakatiliwa mbali.

32. Midomo ya waadilifu hujua yanayokubalika,lakini vinywa vya waovu husema tu maovu.

Methali 10