Mathayo 27:35-37 Biblia Habari Njema (BHN)

35. Walimsulubisha, kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.

36. Wakaketi, wakawa wanamchunga.

37. Juu ya kichwa chake wakaweka shtaka dhidi yake lililoandikwa, “Huyu ni Yesu, Mfalme wa Wayahudi.”

Mathayo 27