Mathayo 25:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. “Wakati huo, ufalme wa mbinguni utafanana na wasichana kumi waliochukua taa zao, wakaenda kumlaki bwana arusi.

2. Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.

Mathayo 25