Mathayo 14:35-36 Biblia Habari Njema (BHN)

35. Watu wa huko walipomtambua, wakaeneza habari pote katika sehemu hizo. Basi, wakamletea Yesu wagonjwa wote,

36. wakamwomba awaruhusu waguse tu pindo la vazi lake. Nao wote waliomgusa walipona.

Mathayo 14