6. Jua lilipochomoza, ziliteketea; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.
7. Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga.
8. Nyingine zilianguka penye udongo mzuri, zikaota, zikazaa: Nyingine punje mia, nyingine sitini na nyingine thelathini.
9. Mwenye masikio na asikie!”