Mathayo 13:57-58 Biblia Habari Njema (BHN)

57. Basi, wakawa na mashaka naye. Lakini Yesu akawaambia, “Nabii hakosi kuheshimiwa, isipokuwa katika nchi yake na nyumbani mwake!”

58. Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao.

Mathayo 13