Matendo 7:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Basi, kuhani mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”

2. Naye Stefano akasema, “Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni! Mungu alimtokea babu yetu Abrahamu alipokuwa kule Mesopotamia kabla hajaenda kukaa kule Harani.

Matendo 7