Matendo 27:40 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo walikata nanga na kuziacha baharini, na wakati huohuo wakazifungua kamba zilizokuwa zimeufunga usukani, kisha wakatweka tanga moja mbele kushika upepo, wakaelekea ufukoni.

Matendo 27

Matendo 27:38-44