2. Basi, Petro aliporudi Yerusalemu, wale Wayahudi waumini waliopendelea watu wa mataifa mengine watahiriwe, walimlaumu wakisema:
3. “Wewe umekwenda kukaa na watu wasiotahiriwa na hata umekula pamoja nao!
4. Hapo Petro akawaeleza kinaganaga juu ya yale yaliyotendeka tangu mwanzo: