Marko 10:6-8 Biblia Habari Njema (BHN)

6. Lakini tangu kuumbwa ulimwengu, Mungu aliumba mwanamume na mwanamke.

7. Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake,

8. nao wawili watakuwa mwili mmoja. Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja.

Marko 10